Polisi wa kituo cha Kogaja wanadaiwa
kuhusika na utoro huo kwa kile kilichodaiwa kuwa hawakumkamata mtuhumiwa licha
kufika kituoni hapo kuchukua PF3 baada ya kufanya kitendo hicho.
Hata hivyo, taarifa kutoka Kituo cha
Polisi Kogaja zimedai kuwa Mtuhumiwa ametoa maelezo kuwa mkewe
alikatwakatwa mapanga na watu wasiofahamika hivyo aliomba PF3 kwa ajili
ya kumpeleka marehemu katika Hospitali ya Tarime mjini Tarime.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mtendaji wa Kijiji cha Kogaja, Bw. Lukas Ambonya amekiri Bw. Omenda kuhusika katika tukio hilo na kwamba wakiwa njiani kwenda hospitalini mke wake alifariki na yeye kutokomea kusikojulikana hivyo hakuwepo hata wakati wa maziko.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mtendaji wa Kijiji cha Kogaja, Bw. Lukas Ambonya amekiri Bw. Omenda kuhusika katika tukio hilo na kwamba wakiwa njiani kwenda hospitalini mke wake alifariki na yeye kutokomea kusikojulikana hivyo hakuwepo hata wakati wa maziko.
0 comments:
Post a Comment