Pages

Home » » MANGULA AITEKA MAKAMBAKO-MAELEFU YA WANANCHI WAMWAGIA SIFA WAKISEMA NDIO MKOMBOZI WA KWELI WA CCM

MANGULA AITEKA MAKAMBAKO-MAELEFU YA WANANCHI WAMWAGIA SIFA WAKISEMA NDIO MKOMBOZI WA KWELI WA CCM


katibu  mwenezi  wa  wilaya ya Mufindi Daud Yassin Kushoto akiangana na makamu mwenyekiti  wa CCM Tanzania  Bara  Philip Mangula mchana  huu baada ya  kufika mpakani  mwa  Iringa na Njombe
Nyimbo  za mapokezi ya Mangula
Bw  Deo Mnyika Kushoto akiteta  jambo na mbunge  wa Ludewa  Deo  Filikunjombe katika uwanja  wa mkutano mjini Makambako
Makamu mwenyekiti  wa CCM Bara Philip Mangulla wa  pili  kushoto akiwa na viongozi  wa mkoa  wa Njombe leo baada ya  kuwasili uwanja  wa mikutano wa Makambako
Mbunge  wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (kulia) akimkaribisha makamu mwenyekiti Tazania bara Bw Philip Mangula leo mkoani Njombe
Makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Tanzania bara Bw Philip Mangula amepata mapokezi makubwa katika mji wa Makambako wilaya ya Njombe mkoa mpya wa Njombe baada ya kuwasili mchana huu akitokea jijini Dar es Salaam.

Mangula ambae  amepokelewa  eneo la  saja  mpakani  mwa  mkoa  wa Iringa na Njombe amewasili mjini Njombe  mida ya saa 7 mchana akiwa ameongozana na  viongozi  wa CCM mkoa  wa Iringa  wakiongozwa na mwenyekiti  wa CCM mkoa huo Jescar Msambatavangu na viongozi wa wilaya ya Mufindi  wakiongozwa na katibu  mwenezi  wa wilaya  hiyo Daud Yassin.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger