Pages

Home » » Mjadala Kuhusu Ukiukwaji Wa Uhuru Wa Vyombo Vya Habari Wafanyika Zanzibar.

Mjadala Kuhusu Ukiukwaji Wa Uhuru Wa Vyombo Vya Habari Wafanyika Zanzibar.

 Meneja wa Baraza la Habari Tanzania Ofisi ya Zanzibar (MCT)Suleiman Seif akifafanua jambo katika Mjadala wa Waandishi wa Habari kuhusu Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Yussuf Omar Chunda akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mjadala wa Waandishi wa Habari kuhusu Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.
 Mwandishi Mkongwe Salim Said Salim akiwasilisha Mada kuhusu Dhana ya Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari katika Mjadala wa Waandishi wa Habari kuhusu Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Meneja wa Udhibiti na Viwango wa Baraza la Habari Tanzania (MCT)John Mireny akifafanua jambo katika Mjadala wa Waandishi wa Habari kuhusu Ukiukwaji wa Uhuru wa Vyombo vya Habari,hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Habari Maelezo Kikwajuni Mjini Zanzibar. 
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger