
Diwani
Jescar Msambatavangu wa kata ya Miyomboni Kitanzia (CCM) akionyesha
tuzo maalum aliyopewa kwa mchango wake katika michezo kulia ni
waandaaji wa mashindano hayo


Diwani Jescar Msambatavangu akipongezwa kwa kuendeleza michezo mjini Iringa

Diwani Jescar Msambatavangu akishukuru kwa zawadi





Mchezaji wa timu ya Twiga star akionyesha zawadi yake


Diwani Jescar akicheza kwa furaha baada ya kukabidhiwa zawadi yake

Mchezaji wa kike Lucy Laswai akionyesha ujuzi katika kufunga goli

Mlinda mlango wa timu ya Mlandege akiwa amekaa chini baada ya kushindwa kudaka mpira

mashindano
yaliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali ya IDYDC kwa lengo
la kuelimisha vijana dhidi ya madhara ya utumiaji wa pombe na
upimaji wa VVU yamefana katika viwanja vya Mlandege mjini Iringa.
Huku
shiriki hilo la IDYDC likimpongeza diwani wa kata ya Miyomboni
Kitanzia Jescar Msambatavangu kwa jitihada zake za kuendeleza
michezo kwa wanawake mjini Iringa.
0 comments:
Post a Comment