Pages

Home » » MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE YA IDYDC YAFANA IRINGA , DIWANI JESCAR APONGEZWA

MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE YA IDYDC YAFANA IRINGA , DIWANI JESCAR APONGEZWA

Diwani Jescar Msambatavangu wa kata ya Miyomboni Kitanzia (CCM) akionyesha tuzo maalum aliyopewa kwa mchango wake katika michezo kulia ni waandaaji wa mashindano hayo
Diwani Jescar Msambatavangu akipongezwa kwa kuendeleza michezo mjini Iringa
Diwani Jescar Msambatavangu akishukuru kwa zawadi


Mchezaji wa timu ya Twiga star akionyesha zawadi yake
Diwani Jescar akicheza kwa furaha baada ya kukabidhiwa zawadi yake
Mchezaji wa kike Lucy Laswai akionyesha ujuzi katika kufunga goli
Mlinda mlango wa timu ya Mlandege akiwa amekaa chini baada ya kushindwa kudaka mpira

mashindano yaliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali ya IDYDC kwa lengo la kuelimisha vijana dhidi ya madhara ya utumiaji wa pombe na upimaji wa VVU yamefana katika viwanja vya Mlandege mjini Iringa.

Huku shiriki hilo la IDYDC likimpongeza diwani wa kata ya Miyomboni Kitanzia Jescar Msambatavangu kwa jitihada zake za kuendeleza michezo kwa wanawake mjini Iringa.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger