Pages

Home » » AZAM FC KWENDA CONGO DRC KESHO

AZAM FC KWENDA CONGO DRC KESHO


KLABU ya soka ya Azam Fc inaondoka nchini kesho kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kushiriki mashindano maalumu nchini humo ambayo yanatarajiwa kuanza jumamosi na kushirikisha timu kadhaa.
Azam ambayo itaondoka na kikosi chake chote inatarajiwa kutumia michuano hiyo kama sehemu ya maandalizi yake ya mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Vodacom utakaoanza mwezi Januari pamoja na michuano ya kimataifa.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger