Pages

Home » » MHE. WAZIRI MKUU WAKATI AKIKAGUA SHAMBA LA RC

MHE. WAZIRI MKUU WAKATI AKIKAGUA SHAMBA LA RC

Waziri Mkuu Mizengo akipokea maelezo ya shamba kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk. Rajab Rutengwe (wa pili kulia) wakati alipoenda kukagua shamba la Mkuu huyo wa Mkoa Desemba 18, 2012 eneo la tenki fupi kata ya Nsimbo, wilayani Mlele, Katavi. Kulia ni Bi. Yusta Kipande na (kushoto) ni Bi. Grace Donald wanaofanya kazi kwenye shamba hilo . (Picha na Irene Bwire wa OWM).
Waziri Mkuu Mizengo akipalilia mahindi ili kumwonyesha Bi. Yusta Kipande namna ya kupandisha udongo kwenye mche wa muhindi wakati wa palizi wakati akikagua shamba la Mkuu wa Mkoa wa Katavi Desemba 18, 2012 eneo la tenki fupi kata ya Nsimbo, wilayani Mlele, Katavi. Bi. Kipande ni mfanyakazi katika shamba hilo. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
Waziri Mkuu Mizengo akipokea maelezo ya shamba kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Injinia Emmanuel Kalobelo (aliyenyoosha mkono) wakati alipoenda kukagua shamba lake Desemba 18, 2012 eneo la tenki fupi kata ya Nsimbo, wilayani Mlele, Katavi. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger