Pages

Home » » TIRIMA ENTERPRISES YAHAMASISHA USAFI WA MAZINGIRA KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM.

TIRIMA ENTERPRISES YAHAMASISHA USAFI WA MAZINGIRA KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM.


Pichani Juu na Chini ni Wafanyakazi wa Kampuni ya Usafi ya Tirima Enterprises ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wakifanyakazi ya kujitolea kuzibua mitaro katika Mtaa wa Mtambani relini eneo la Vingunguti ikiwa ni kampeni ya kuhamasisha wakazi wa Vingunguti kufanya usafi katika maeneo yao kutokana na kushambuliwa na magonjwa wa kipindupindu mara kwa mara.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger