Pages

Home » » WIZARA YA AFYA KUANZISHA KINGA YA KUZUIA VIFO KWA WATOTO UMRI CHINI YA MIAKA 5

WIZARA YA AFYA KUANZISHA KINGA YA KUZUIA VIFO KWA WATOTO UMRI CHINI YA MIAKA 5

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inatarajia mwaka ujao kuanzisha chanjo mpya mbili za Pneumococcal na Rotavirus, ambazo ni maalum katika kukinga maradhi na vifo kwa watoto waliochini ya umri wa miaka mitano.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam leo, na Mkurugenzi wa Kinga, Elias Chinamo, wakati wa warsha ya siku moja ya wandishi wa habari, ya kuwajengea uwezo wa kufilisha elimu sahii kwa jamii pamoja na kuihamasisha jamii kuhusu chanjo hizo mpya,  zitakapoanza mwaka 2013.
Alisema walengwa wa chanjo hizo watakuwa ni watoto waliyonaumri wa chini ya miezi 12 ambapo chanjo ya kukinga nimonia (pcv13), itatolewa mara tatu kuanzia umri wa wiku sita, 10 na 14.
 
Chinamo akubainasha kuwa chanjo ya kinga ya kihara  (rotavirus), itatolewa mara mbili kuanzia imri wa wiku sita na 10, inasisitizwa kuwa ili mtoto apate kinga lamili ni lazima akamilishiweratiba mapema.
 
Alisema kitaalam zinaonesha kuwa chanjo ya ‘Pneumococcal’ hukinga maambukizi ya nimonia kwa asilimia 38, homa ya uti wa mgongo kwa takriban asilimia 87; na chanjo ya ‘rotavirus’ hukinga kuharisha kuharisha kunakosababisha vifo vya watoto kwa aslimia 80.
 
Chinamo aliongeza kuwa  kwa sehemu kubwa hukinga ugonjwa wa kuharisha unaosababshwa na vimelea vya aina nyungune pia
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger