Pages

Home » » MCHUNGAJI MTIKILA AONGOZA CHAMA CHA DP KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA

MCHUNGAJI MTIKILA AONGOZA CHAMA CHA DP KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (katikati) akizungumza katika mkutano uliofanyika leo (Jumanne, Januari 8, 2013) katika Ofisi za Tume hiyo Jijini Dar es Salaam na Chama hicho kilipowasilisha maoni yao Kuhusu Katiba Mpya mbele ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakiongozwa na Jaji Joseph Warioba. Kulia ni Katibu wa Tume Assaa Rashid na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akizungumza na Viongozi wa Chama cha Democratic (DP) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mchungaji Christopher Mtikila (kushoto) waliofika katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam leo (Jumanne Januari 8, 2013) kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Katikati ni Katibu wa Tume, Assaa Rashid.
Viongozi wa Chama cha Democratic (DP) wakiongozwa na Mchungaji Christopher Mtikila (kushoto) wakifuatilia kwa makini hoja zilizokuwa zikitolewa na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati wa mkutano baina yao uliofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume hiyo Jijini Dar es Salaam leo (jumanne Januari 8, 2013).
 (PICHA NA TUME YA KATIBA)
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger