Pages

Home » » MKUTANO WA TANO WA BARAZA LA TATU LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAKWIMU WAFUNGULIWA LEO IRINGA

MKUTANO WA TANO WA BARAZA LA TATU LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAKWIMU WAFUNGULIWA LEO IRINGA


Wajumbe wastaafu toka baraza la wafanyakazi la NBS wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi wa kwanza kushoto ni Mariam Mtalika,wa pili kushoto ni mgeni rasmi Dkt Warioba anayefuatia ni Eliada Magoma na wa kwanza kulia ni Mark Chimoto akiwa na mkewe Grace Chimoto.
Wajumbe wa mkutano wa baraza la wafanyakazi wa ofisi ya Takwimu (NBS) wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mkuu wa Wilaya ya Iringa Dkt. Leticia Warioba Mwenyekiti wa baraza la NBS Stanley Mahembe akifungua mkutano leo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria katika mkutano wa Tano wa Ofisi ya taifa ya Takwimu.
Mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya Iringa Dkt Leticia Warioba akisoma hotuba ya Ufunguzi wa mkutano wa baraza la tatu la wafanyakazi wa ofisi ya Taifa ya Takwimu.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger