Pages

Home » » MAKAHABA WANASWA WAKIPIGANA ' UCHI ' MAKABURINI!!!

MAKAHABA WANASWA WAKIPIGANA ' UCHI ' MAKABURINI!!!


 
Habari hii inayoonekana ya kuchekesha inahusisha mkasa mzito uliotoke hivi karibuni ambapo Machangudoa wawili walikamatwa na Jeshi la POLISI kwa shutuma  za kupigana katika maeneo ya maziko kinyume na sheria.
 
Taarifa zaidi zinadai kuwa akina dada hao wakekuwa MASHOSTI kwa muda mrefu hivi sasa na kitendo wao kupigana katika eneo nyeti kama Lile ni aibu sana. "Mara nyingi wamekuwa wakionekana wanatembea pamoja kitu kinachoashiria kuwa walikuwa ni marafiki wa muda mrefu sana, Lakini tunashanga leo kuwaona wanapigana hapa " Alisema shahidi ambaye alikuwepo eneo la tukio.
 
Baada ya kukamatwa na kuhojiwa makahaba hao walishutumiana na kurushiana maneno machafu huku kila mmoja akidai kuwa ameibiwa bwana wake. "Nilikuwa nasikia muda mrefu kwmba anatembea na bwana wangu na juzi nimemkuta baa anakunywa nae, kwahiyo leo nimeamua nimkomeshe" alidai mmoja kati ya makahaba hao.
 
Vitendo vya UKAHABA vimekuwa gumzo hivi sasa Barani Africa kwani Takwimu zinabainisha kuwa Idadi kubwa ya wanawake ambao wanashindwa kuendelea na masomo kwa sababu moja ama nyingine basi hujiingiza katika biashara hiyo muhimu ya kuuza miili yao.
 
Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata zaidi ya wasichana wapatao 22 eneo la Mwananyamala karibu na geti la Mwananyamala hospitali akiwemo mama mtu mzima anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 ambaye alikuwa anamiliki jumba lenye zaidi ya vyumba 40 ambalo utumika kufanyia ukahaba maarufu kama danguro.

Akitoa taarifa leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamanda Charles Kenyela, alisema kuwa wanashukuru wananchi ambao wameweza kutoa ushirikiano wa kukamatwa kwa wasichana hao ambao walikuwa wakifanya biashara ya ukahaba katika maeneo hayo kwa muda mrefu.

Mashuhuda wa tukio hilo, walisema kuwa wanalishukuru sana Jeshi Polisi kwa kuweza kuwakamata wasichana hao ambao wamekuwa wakifanya biashara hiyo ya ukahaba kwa muda mrefu.

"Tunalishukuru sana Jeshi la polisi kwa kuvunja kero hii ambayo imekuwa ikitukera tokea muda mrefu sana, yani danguro hili lipo tokea mwaka 1990, mimi nazaliwa nalikuta mpaka leo lipo ila leo ndiyo polisi wamekuja kuwakamata wahusika" Alisema mmoja ya vijana wanaoishi eneo hilo.

Shuhuda huyo aliongeza kuwa wasichana hao walikuwa wanafanya biashara hiyo kwa bei ya shilingi 2000, 3000 kwa muda mfupi (short time) na wateja wao ni vijana, akina baba pamoja na vijana ambao huwa
KWA STAILI HII UKIMWI UTAISHA KWELLI???!! CHUKUA HATUA
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger