Pages

Home » » WAZIRI KAGASHEKI AONGOZA MATEMBEZI YA SIKU YA TEMBO DUNIANI

WAZIRI KAGASHEKI AONGOZA MATEMBEZI YA SIKU YA TEMBO DUNIANI


 Muheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Kahasheki akikata utepe kuashiria uzinduzi wa matembezi ya amani ya Tembo Duniani kupinga mauaji ya Tembo hao.
 Muheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Kahasheki akionesha moja ya vibao ambavyo vinawaonesha Tembo wakati wa Matembezi hayo ya amani.
 Kutoka kushoto ni Mrs. Tibaijuka akifuatiwa na Muheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Kahasheki,Mwenyekiti wa Tanzania Association of Tours Operators Willbert Chambulo, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Muheshimiwa Magesa Mulongo.

 Baadhi ya Wanafunzi wakiwa katika Matembezi ya Siku ya Tembo Duniani


Mkurugenzi mkuu wa Hifadhi za Taifa nchini(TANAPA)Bw.Allan Kijazi(T shirt nyeupe)akisalimiana na maafisa wa Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro leo kwenye uwanja wa ndege wa Arusha wakati wakimsubiri Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Khamis Kagasheki kuongoza maandamano ua kupiga vita ujangili wa Tembo nchini

Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Khamis Kagasheki(wa pili kushoto)akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo na viongozi wa Tanzania Association of Tour Operators(TATO) jana kwenye uwanja wa ndege Arusha.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Khamis Kagasheki(kushoto)akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo na viongozi wa Tanzania Association of Tour Operators(TATO) jana kwenye uwanja wa ndege Arusha.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Khamis Kagasheki(wa pili kulia)akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo(kulia) na viongozi wa Tanzania Association of Tour Operators(TATO) kwenye maandamo ya kupinga ujangili wa Tembo nchini.

Wadau wakiwa wa Mali Hai Arusha wakiwa katika picha ya pamoja










Na Mwandishi Wetu,Arusha

Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Khamis Kagasheki amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete haitakubali utalii ufie mikononi mwake kwa kuwaacha majangili kutamba kwa kuwaua hovyo wanyama mbalimbali hasa Tembo kwenye Hifadhi za taifa nchini.



Balozi Kagasheki leo ameongoza maandamano makubwa ya wadau wanaopinga vitendo nya ujangili vinavyohatarisha uwepo wa Tembo  kwa mika 15 ijayo kama hatua mahususi hazitachukuliawa.




"Sasa hakutakuwa na suala la wanaharakati kutaka kesi ziharakishwe mahakamani kwasababu maafisa wetu wakikutana na majangili huko porini mambo yatakua yanaishia huko huko,"alisema Kagasheki




Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye viwanja vya AICC Kijenge ,Mwenyekiti wa taasisi iliyoandaa maandamano hayo ya Tanzania Association of Tour Operetors(TATO)Willy Chambuso alisema kuna kila sababu ya serikali ya Tanzania kuzungumza na serikali ya China ambako kumeonakana ni soko la pembe za Ndovu
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger