Pages

Home » » ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE. PINDA WILAYANI UVINZA

ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE. PINDA WILAYANI UVINZA


IMG_0033  
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na Wahandisi na mafundi kutoka Korea ya Kusini ambao wanajenga daraja la kto  Malagarasi linalounganisha mikoa ya Kigoma na Tabora akiwa katika ziaraya mkoa  wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0085 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mkewe Tunu , baadhi ya Mawaziri  na wajenzi wa daraja la mto Malgarasi kutoka Korea Kusini wakiwa karika picha ya pamoja baada ya Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa daraja hilo  akiwa katika  ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0088 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu  wakizungumza na Msimazi Mkuu wa ujenzi wa daraja la mto Malagarasi baada ya kukagua ujenzi wa daraja hilo  linalounganisha mikoa ya Tabora na Kigoma. Walikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0111 Daraja mto Malagarasi linalojengwa na Kampuni kutoa Korea Kusini . Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alikagua daraja hilo akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma  Oktoba 5, 2013.Ujunzi wa daraja hilo umekamilika kwa zaidi ya asilimia 90. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0213 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (wapili kushoto) wakitazama ngoma ya wanawake wa Nguruka wilayani Uvinza kabla kuhutubia mkutano wa hadhara wakiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0170 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika tarafa hiyo   akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0257  
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwahutubia wananchi wa Nguruka wilayani Uvinza akaiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0228  
Baadhi ya wazee wa Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowahutubia wananchi wa tarafa hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Greyson Salufu | Chimbuko Letu Inc | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Mbwile Media - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger